SOMO LA 70


SOMO LA 70: MATUMIZI YA a, an
SEHEMU B:
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Zingatia:
## "an" au "a" Haitumiki kwa neno linaloanza na sauti a, e, i, o, u katika matamshi ikiwa neno hilo haliko katika kundi au halisimamii neno lililo katika kundi la vitu vinavyohesabika

Examples of words (Mifano ya maneno): food, sugar, salt, water, juice, money, etc

Examples of sentences (mifano ya sentensi):
1. I want food
= ninataka chakula

2. I am waiting for water
= ninangoja maji

3. I am waiting for a bottle of water
= ninangoja chupa ya maji

4. Please, can you put sugar in this bucket?
= tafadhali, unaweza kuweka sukari katika ndoo hii?

5. Please, can you put a kilogram of sugar in this bucket?
= tafadhali, unaweza kuweka kilo ya sukari kwenye ndoo hii?

6. You have to buy a water pump
= Unatakiwa kununua pampu ya maji

7. Give me money please
= nipe pesa tafadhali

8. It's a good advice
= ni ushauri mzuri

9. It's a live event
= ni tukio mubashara (La moja kwa moja)
➖➖➖➖➖➖➖➖➖
🌐 Facebook/ Instagram / YouTube @ Azari Eliakim 

Comments

Popular posts from this blog

SOMO LA 110

SOMO LA 1

SOMO LA 2