Posts

Showing posts with the label Somo la 31

SOMO LA 31

SOMO LA 31: TENSES "nyakati" ➖➖➖➖➖➖➖➖ ⏰WAKATI ULIOPO (PRESENT TENSE) ▫▫▫▫▫▫▫▫ ➡Present simple tense ⚫Wakati uliopo Hali ya kawaida ➡Present continuous tense ⚫ Wakati uliopo Hali inayoendelea ➡Present perfect tense ⚫ Wakati uliopo Hali timilifu ➡Present perfect continuous tense ⚫ Wakati uliopo Hali timilifu na inayoendelea ➖➖➖➖➖➖➖➖➖ ๐Ÿ•›PRESENT SIMPLE TENSE ⚫Wakati uliopo Hali ya kawaida ▫formula (kanuni) ▶Pronoun + Verb ................................. ๐Ÿ‘‰I want Ninataka ๐Ÿ‘‰You want Unataka /mnataka ๐Ÿ‘‰He wants Anataka ๐Ÿ‘‰She wants Anataka ๐Ÿ‘‰It wants Anataka ๐Ÿ‘‰We want Tunataka ๐Ÿ‘‰They want Wanataka =============== ๐Ÿ‘‰I want to ask you a question Ninataka kukuuliza swali ๐Ÿ‘‰You want something from me Unataka /mnataka kitu fulani kutoka kwangu ๐Ÿ‘‰He wants a job Anataka kazi/ajira ๐Ÿ‘‰She wants a husband Anataka mume ๐Ÿ‘‰It wants food Anataka chakula ๐Ÿ‘‰We want to talk to you Tunataka kuzungumza nanyi/nawe ๐Ÿ‘‰They want money now ...