SOMO LA 31


SOMO LA 31: TENSES "nyakati"
➖➖➖➖➖➖➖➖
⏰WAKATI ULIOPO
(PRESENT TENSE)
▫▫▫▫▫▫▫▫
➡Present simple tense
⚫Wakati uliopo Hali ya kawaida

➡Present continuous tense
⚫ Wakati uliopo Hali inayoendelea

➡Present perfect tense
⚫ Wakati uliopo Hali timilifu

➡Present perfect continuous tense
⚫ Wakati uliopo Hali timilifu na inayoendelea
➖➖➖➖➖➖➖➖➖
🕛PRESENT SIMPLE TENSE
⚫Wakati uliopo Hali ya kawaida
▫formula (kanuni)
▶Pronoun + Verb
.................................
👉I want
Ninataka

👉You want
Unataka /mnataka

👉He wants
Anataka

👉She wants
Anataka

👉It wants
Anataka

👉We want
Tunataka

👉They want
Wanataka
===============

👉I want to ask you a question
Ninataka kukuuliza swali

👉You want something from me
Unataka /mnataka kitu fulani kutoka kwangu

👉He wants a job
Anataka kazi/ajira

👉She wants a husband
Anataka mume

👉It wants food
Anataka chakula

👉We want to talk to you
Tunataka kuzungumza nanyi/nawe

👉They want money now
Wanataka pesa sasa hivi
➖➖➖➖➖
👥Facebook /Instagram /YouTube @Azari Eliakim

Comments

Popular posts from this blog

SOMO LA 110

SOMO LA 1

SOMO LA 2