SOMO LA 108


SOMO LA 108: MATUMIZI YA "why"
SEHEMU B:
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Examples
(mifano):
1. I don't understand why this is happening to me
👉 Sielewi kwa nini hili linanitokea

2. If you want to know why this is happening to you ask your mentor
👉 Kama unataka kujua kwa nini hili linakutokea muulize mshauri wako

3. You have to be aware of what you want and why you want it
👉 Unatakiwa kujua unachokitaka na kwa nini unakitaka

4. Let's just wait, the teacher will tell us why he doesn't want to teach us at night
👉 Hebu tusubiri tu, mwalimu atatwambia kwa nini hataki kutufundisha usiku

5. You never know. Maybe she knows why this is not going to happen
👉 Huwezi jua. Labda anajua kwa nini hili halitatokea

6. I saw the number on the advert but I don't know why I didn't write it somewhere
👉 Niliiona namba kwenye tangazo lakini sijui kwa nini sikuiandika mahali fulani

7. Most citizens want to be told why it's not raining while it's a rainy season
👉 Wananchi wengi wanataka kuambiwa kwa nini mvua hainyeshi wakati ni msimu wa mvua

8. I don't know why you are accusing me of something I have not done
👉 Sijui kwa nini unanishutumu kwa kitu ambacho sijakifanya

9. I don't agree with you. That's not a good reason why you shouldn't come
👉 Sikubaliani na wewe. Hiyo si sababu nzuri kwa nini hautakiwi kuja

10. Hold on. There is no reason why you can't succeed
👉 Subiri kidogo. Hakuna sababu kwa nini hauwezi kufanikiwa
➖➖➖➖➖➖➖➖➖
🌐 Facebook/Instagram/YouTube @ Azari Eliakim  

Comments

Anonymous said…
IT'S SO GREAT
Anonymous said…
Watching porn videos for free click link beside

 https://adultvideos.ml

Popular posts from this blog

SOMO LA 110

SOMO LA 1

SOMO LA 2