SOMO LA 32
SOMO LA 32: TENSES "nyakati"
🕛PRESENT SIMPLE TENSE
âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–
🕛PRESENT SIMPLE TENSE
âš«Wakati uliopo Hali ya kawaida
â–«formula (kanuni)
â–¶Pronoun + Verb
.................................
👉I go
Ninakwenda
👉You go
Unakwenda /mnakwenda
👉He goes
Anakwenda
👉She goes
Anakwenda
👉It goes
Anakwenda
👉We go
Tunakwenda
👉They go
Wanakwenda
.................................
👉I go to church on Sunday
Ninakwenda kanisani Jumapili
👉You go to school in June
Unakwenda /mnakwenda shuleni Juni
👉He goes to the farm every morning
Anakwenda shambani kila asubuhi
👉She goes to the market daily
Anakwenda sokoni kila siku
👉It goes to the bush every day
Anakwenda kichakani kila siku
👉We go home after lunch
Tunakwenda nyumbani baada ya chakula cha mchana
👉They go home for lunch
Wanakwenda nyumbani kwa ajili ya chakula cha mchana
âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–
👥Facebook /Instagram /YouTube @Azari Eliakim
Comments