SOMO LA 4


SOMO LA 4:
KUJITAMBULISHA
âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–
1. What is your name?
Au
what's your name?
🔹Unaitwa nani?

2. How old are you?
🔹Una umri gani?

3. I am 28 years old
🔹Nina miaka 28

4. Where do you come from?
🔹Unatokea wapi?

5. I come from Tanzania
🔹Ninatokea Tanzania

6. I come from Mwanza
🔹Ninatokea Mwanza

7. I come from Mwanza Region
🔹Ninatokea mkoa wa Mwanza

8. I come from Mwanza district
🔹Ninatokea wilaya ya Mwanza

9. Where do you live?
🔹Unaishi wapi?

10. I live at Ubungo
🔹Ninaishi Ubungo

11. What is your mother's name?
🔹Mama yako anaitwaje?

12. My mother's name is Joyce Joel
🔹Mama yangu anaitwa Joyce Joel

13. What is your father's name?
🔹Baba yako anaitwaje?

14. My father's name is Joel James
🔹Baba yangu anaitwa Joel James

15. What is your occupation?
🔹Unafanya kazi gani? (ajira yako ni ipi?)

16. I am a student
🔹Mimi ni mwanafunzi

17. I am a farmer
🔹Mimi ni mkulima

18. I am an engineer
🔹Mimi ni mhandisi

19. I am a doctor
🔹Mimi ni daktari

20. I am a businessman
🔹Mimi ni mfanyabiashara (Wa kiume)

21. I am a businesswoman
🔹Mimi ni mfanyabiashara (wa kike )
âž–âž–âž–âž–âž–âž–âž–
👥Facebook /Instagram /YouTube @Azari Eliakim

Comments

Popular posts from this blog

SOMO LA 110

SOMO LA 1

SOMO LA 2